Header Ads Widget

TANZIA :MWANAHABARI ELIZABETH NTAMBALA AFARIKI DUNIA ..

Mwanahabari Mkoani Rukwa Elizabeth Ntambala afariki dunia .

Ntambala ameugua kwa muda mrefu amefia mkoani Rukwa taratibu za mazishi zinafanyika .

Matukio Daima Media tunaungana na wahabari wote Tanzania kutoa pole kwa familia ndugu jamaa na marafiki wote.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe .

Amen

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI