
Christina Alex Kibiki
(aliyekuwa kuwa Katibu wa Kilolo).
Ibada hii itafanyika siku ya Ijumaa, tarehe 29 Agosti 2025 nyumbani kwao Tosamganga (Banawanu).
Tunawaalika wote tufike kwa pamoja ili kushiriki ibada hii ya upendo, mshikamano na kumsindikiza mpendwa wetu kwa sala.
"Ee Bwana, mpe raha ya milele, na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani."
Karibuni nyote.
0 Comments