Header Ads Widget

WACHIMBAJI WA MADINI KUFIKIWA NA BENKI YA NMB KWA KUWEZESHWA MIKOPO

 


 Na Shomari Binda-Musoma

BENKI ya NMB imesema inazo fedha za kutosha na wanakwenda kuwafikia wachimbaji kuwapa mikopa na kuendesha shughuli zao za uchimbaji.

Kauli hiyo imetolewa na Meneja wa Huduma za Wateja wa Mikopo ya Kati wa benki hiyo Dickson Richard wakati akitoa mada kwenye kongamano la maonyesho ya madini mkoa wa Mara kwenye ukumbi wa Mwembeni Complex leo juni 5,2025.

Amesema kwa sasa sekta hiyo ya madini inatambulika zaidi ikiwemo shughuli zake na zipo fedha wanazozitoa źa mikopo katika kuboresha kazi zao.

Katika kongamano hilo lililowashirikisha wachimbaji,wauzaji,wachenjuaji na wadau wengine meneja huyo amewaita kuchangamkia fursa hiyo kutoka benki ya kizalendo.


Amesema fedha zipo na kikubwa ni kufuata taratibu zikiwemo taarifa sahihi ambazo zitapelekea kupata mikopo hiyo kwa haraka.

" Ndugu zangu benki ya NMB ni benki yenu na inazo fedha za kutosha kwaajili ya kutoa mikopo kwa wachimbaji na wadau wote wa sekta ya madini.

" Nimetoka makao makuu na hapa Musoma ni nyumbani nilianzia hapa miaka hiyo na nipo na wenzetu wa hapa mkoa wa Mara kuja kuwafikishia ujumbe huo kupitia kongamano hili la maonyesho ya madini mkoa wa Mara", amesema.

Kwa upande wao ma meneja kutoka Wilaya zote za mkoa wa Mara wamesema wapo tayari kuwapokea wachimbaji na wadau wote wa sekta ya madini ili kuanza michakato ya utoaji mikopo hiyo.

Wamesema benki ya NMB inatambua mchango wa sekta ya madini na wapo tayari kuwapokea na kuwawezesha kwa mikopo pale watakakapowafikia.

Kwenye kongamano hilo wadau wa sekta ya madini pamoja na taasisi za kifedha ikiwemo benki ya NMB wamekuja na mapendekezo zikiwemo taarifa sahihi zitakazowezesha kupata mikopo.

Licha ya taarifa hizo ni wachimbaji kuhakikisha migao yao ya fedha za mgao wa uuzwaji wa madini ikiwemo dhahabu yanapitia benki.

Kongamano la maonyesho ya madini mkoa wa Mara yameingia siku ya pili hii leo ambapo kesho maonyesho hayo yatafungwa rasmi na Waziri zwa Madini Antony Mavunde kwenye uwanja wa shule ya msingi Mukendo.


MWISHO 



SIMULIZI CHINI⬇️⬇️⬇️⬇️⬇️


Jinsi nilivyopata vitu vyangu vya ndani na fedha Sh4.7milioni nilizoibiwa 

Siku kusahau siku mojaa baada ya kurudi nyumbani kutoka kwenye mkesha wa kuungoja mwaka mpya na kukutaa nyumba yangu imevunjwa na kuibia sofa, kitanda, TV, redio, kompyuta na fedha Sh4.7milioni nilizokuwa nimezihifadhi chini ya godoro la kitanda changu. 

Nilichanganyikiwa sana maana mali zangu nimezichuma kwa jasho jingi la kufanya kazi mtaani kwenye jua kali nikitembeza vitu kama Machinga, kibaya zaidi fedha walizoiba ndio nilikuwa nimetoka kuzichukua benki ukiwa ni mkopo ambao  nilitaka nianze nao mwaka kwa kuongeza mtaji katika biashara yangu. 

Jambo hilo lilinipa sana msongo wa mawazo, nilishinda ndani siku mbili bila kuweza kula vizuri maana sikuwa na hata pakulala, nilitoa taarifa Polisi na wakaanza kufanya uchunguzi wao. 

Kipindi nashinda nyumbani, nilipenda sana kutembelea kitandao ya kijamii ili kupunguza msongo wa mawazo, ndipo nikakutana na kijana mmoja facebook akieleza jinsi Kiwanga Doctors alipomsaidia kuwa na mvuto wa kibiashara, niliwasiliana na kijana yule na kutaka kujua mengi kuhusu Kiwanga Doctors. 

Aliniambia Kiwanga Doctors ana wezo kumfanya mtu kuwa na bahati maishani mwake, kushinda katika michezo ya bahati nasibu, kukukinga na maadui zako, kukufanya ushinde migogoro kama ya ardhi, kuwa na mvuto wa kimapenzi, kuongeza mauzo katika biashara na mengineo. 

Nikamuuliza je anaweza kunisaidia kuwapata wezi walionivunjia nyumba na kuniibia, akanijibu kuwa hilo linawezekana bila shida, basi nikamuomba namba ya Kiwanga Doctors a naye akanitumia. 

Nilimpigia muda huo huo nikamwambia shida yangu mara moja, jibu lake lilikuwa ni hesabu kuwa vitu vyangu vimepatikana. 

Baada ya siku mbili, niliamka asubuhi nikasikia kama watu wanaongea nje, nilitoka nikawakuta vijana sita wakiwa amebeba mali zote zangu walizokuwa wameimba, huku wakiomba msamaha. 

Mara moja nilimpigia Kiwanga Doctors akatoa maelekezo jinsi ya kufanya, kisha nikachukua mali zangu na fedha nikaingiaza ndani. Muda sio merufu polisi walifika na kuwakamata vijana wale na kuondoka nao. 

Kwa kweli Kiwanga Doctors ni kiboko ya wezi wote ukanda wa Afrika Mashariki na kati na amesaidia wengi. 

Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio, uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba  +255 763 926 750  au tembelea tovuti yao, maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi. 


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI