Header Ads Widget

JAMAL TAMIM MWENYEKITI CCM KIGOMA ATIA NIA UBUNGE MUHAMBWE

 


NA MATUKIO DAIMA MEDIA 

Mwenyekiti wa CCM mkoa Kigoma Jamal Tamim amechukua  fomu leo Jumatatu Juni 30 kuomba kuteuliwa na CCM kugombea ubunge jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo mkoani Kigoma.

Jamal ambaye alifika ofisi za CCM wilaya Kibondo mapema asubuhi leo alikabidhiwa fomu za kuomba kuteuliwa kutoka kwa  Katibu wa CCM wilaya hiyo, Raphael Sumaye Maarufu Control.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI