Header Ads Widget

JAJI AKAMATWA KWA KUMTOROSHA MTUHUMIWA KUPITIA MLANGO WA SIRI MAHAKAMANI

 

Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Milwaukee, Hannah Dugan, amekamatwa na maafisa nchini Marekani kwa madai ya kumsaidia mtuhumiwa wa uhamiaji kutoroka mahabusu kwa kutumia mlango wa siri wa majaji katika jengo la mahakama.

wa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Sheria ya Marekani, tukio hilo lilitokea Aprili 18,2025 wakati maafisa kutoka Idara ya Uhamiaji (ICE), FBI na DEA walipofika mahakamani kumkamata Eduardo Flores-Ruiz, raia wa Mexico aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya kufanya vurugu nyumbani.

Jaji Dugan anadaiwa kuwazuia maafisa hao bila kibali cha mahakama, na kumruhusu Flores-Ruiz kutoka kupitia mlango wa upande wa majaji akiwa na wakili wake.

Flores-Ruiz alikamatwa muda mfupi baadaye nje ya jengo la mahakama baada ya kufukuzwa kwa miguu na maafisa wawili waliokuwa karibu na chumba cha mahakama.

Jaji Dugan alifikishwa mahakamani siku ya Ijumaa na kusomewa mashtaka ya kuzuia utekelezaji wa sheria na kumficha mtu anayesakwa, makosa ambayo yakithibitika yanaweza kumuweka gerezani hadi miaka sita.

Wakati wa kusomewa mashtaka, wakili wake alisema Jaji Dugan “ana uchungu na anakataa vikali kukamatwa kwake,” akisisitiza kuwa hatua hiyo haikuchukuliwa kwa maslahi ya usalama wa umma.

Kwa sasa, Dugan yuko huru kwa dhamana akisubiri kusikilizwa kwa kesi hiyo Mei 15. Msemaji wake alisema, "Jaji Dugan atajitetea kwa nguvu na anatarajia kusafishwa."

Tukio hili limezua mijadala mikali nchini humo, huku baadhi ya wanasiasa wakilitazama kama hujuma dhidi ya uhuru wa mahakama, huku wengine wakisisitiza kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria.

Naibu Jaji mkuu wa Kenya Philomena Mwilu akamatwa kwa tuhuma za ufisadi




SIMULIZI CHINI 👇 


Atoa siri ya kuwa na mwanaume wa kweli 

Kutana na JJ ambaye anasimulia hadithi yake ya kustaajabisha ya jinsi alivyotumia mitishamba kutoka kwa Kiwanga Doctors kurudisha nguvu zake za kiume na kuokoa ndoa yake ambayo ilikuwa inaelekea kupotea. 

Anasema alikabiliana na hali ya kutokuwa na nguvu wakati wa kumpa raha mkewe kwa miaka mingi jambo ambalo lilimfanya kupoteza heshima kwa mkewe. 

"Siku zote niliaibika na kufadhaishwa, sikuweza kumridhisha mke wangu kitandani na mara nyingi alilalamika na kutishia kuniacha. Pia nilijihisi duni kuliko wanaume wengine na niliepuka kuchangamana na watu kwa muda mwingi," anasema Kimani. 

Alisema kuwa alijaribu mbinu mbalimbali kutatua tatizo lake kwa kutumia vidonge, krimu, pampu na hata upasuaji lakini hakuna iliyofanikiwa, bado hali yake iliendelea kuwa ile ile. 

Hivyo ilifika kipindi alikuwa amepoteza fedha nyingi bila mafanikio yoyote na hata aliona kama hizo dawa alizojaribu zilikuwa zinaongeza ukubwa wa tatizo lake badala ya kulipunguza. 

“Nilikata tamaa na kukosa tumaini. Nilifikiri kwamba sitawahi kuwa na furaha au kufurahia ngono tena maisha mwangi, nilikuwa tayari nimekubali kuachika katika ndoa yangu," alisema. 

Hata hivyo, Kimani maisha yake yalibadilika na kuwa mazuri aliposikia kuhusu Kiwanga Doctors na mara  moja kuchukua hatua ya kupata dawa kutoka kwa waganga hao wa kienyeji ambao wana uwezo wa kutatua tatizo lolote kwa kutumia mitishamba.

"Nilikuwa na shaka mwanzoni, lakini niliamua kuwajaribu. Niliwasiliana nao kupitia tovuti yao na kuwaeleza hali yangu. Waliniambia kuwa wana mimea maalum ambayo inaweza kuongeza nguvu kiume ndani siku chache," alisema. 

Anasema baada ya kuanza kutumia dawa zao, ghafla mambo yalibadilika sana, alijikuta ana nguvu kama simba na aliweza kumpa raha vizuri mke wake, walifurahia utamu pamoja ambao walikuwa wameukosa kwa miaka mingi. 

Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio, uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba  +255 763 926 750  au tembelea tovuti yao, maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi. 


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI