Header Ads Widget

BREAKING:TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA UMEME MAENEO YOTE YA TUNDUMA MOMBA NA MBOZI

 


SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

 TAARIFA  YA KUKOSEKANA KWA UMEME MAENEO YOTE YA TUNDUMA MOMBA NA MBOZI


Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Songwe linawaomba radhi  wateja wake wote wa maeneo  yote ya Tunduma momba, Mbozi    kwa kukosa huduma ya umeme   kuanzia majira ya saa 7 usiku


 SABABU :  Kuna gari aina ya Harrier imegonga nguzo ya laini kubwa maeneo ya Senjele Mbozi na kusababisha umeme kukatika.

Tunaendelea kushugulikia ili kuweza kurejesha huduma ya umeme 

Wasiliana nasi kwa simu kwa namba ifuatayo ya 

 Kituo cha miito ya simu  0687 651414

Imetolewa na: 

OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA - SONGWE

20/03/2025

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI