Header Ads Widget

SHUHUDIA MAZOEZI YA UTIMAMU WA MWILI YA MAAFISA NA ASKARI WA NCAA

 


Maafisa na Askari wa Jeshi wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) wakiwa katika mazoezi ya mwisho wa wiki kama sehemu ya ratiba ya kila wiki kufanya mazoezi kwa ajili ya kuimarisha utimamu wa mwili, kuimarisha afya kwa ajili ya kujikinga na maradhi mbalimbali na kuwa tayari kimwili na kiakili katika utekelezaji wa majukumu ya ulinzi na uhifadhi wa maliasili za Wanyamapori na misitu.







Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI