Header Ads Widget

DORCAS FRANCIS MWILAFI AREJESHA FOMU KUOMBA KUTEULIWA KUWANIA UJUMBE KAMATI KUU CHADEMA

  

Na Matukio Daima media 

Mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pwani  Dorcas Francis Mwilafi leo amerejesha Rasmi Fomu ya kuomba kuteuliwa Kugombea ujumbe kamati kuu CHADEMA .

Mwanachama huyo amerejesha Fomu hiyo Leo jumapili Januari 5/01/2025 makao makuu ya chama Mikocheni Dar es salaam huku akiwa na matumaini Makubwa ya kutumika vema nafasi hiyo iwapo Chama kitamteua na wajumbe wa baraza kuu watamchagua.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI