Header Ads Widget

MWEMYEKITI WA UVCCM TAWI AUAWA


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Tawi la Machinjioni Kata ya Makongorosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya, Michael Kalinga ameuawa na Watu wasiojulikana na kisha mwili wake kutelekezwa katika eneo la kuelekea Kata ya Mkola usiku wa kuamkia leo Jumanne December 03,2024

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Kawaida, ameelezea kutikitishwa na tukio hilo huku akiviomba Vyombo vya Usalama vichukue hatua kali kwa waliohusika.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Wilbert Siwa amesema tayari wamezipata taarifa hizo na wanaendelea kufanya uchunguzi kubaini Wahusika ili wachukuliwe hatua.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI