Header Ads Widget

#AJALI :WATU AMBAO BADO IDADI YAO HAIJAFAHAMIKA WANASADIKIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA YA MAGARI KUGONGANA

Na Mariam Kagenda Kagera

Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser amedhibitisha kutokea kwa  ajali katika eneo la Kihanga wilayani humo.

Dc Kalanga wakati akizungumza na moja ya Redio za mkoa wa Kagera  amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.

Amesema kuwa roli likiwa limebeba maparachichi limeigonga kwa nyuma Haice iliyokuwa ikitokea wilaya ya  Karagwe kwenda bukoba na Haice kugonga Costa iliyokuwa ikitoka Bukoba kwenda Karagwe

Mmoja wa mashuhuda amesema kuwa  ameweza kusaidia kutoa baadhi ya maiti katika gari .

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI