Header Ads Widget

AJALI YA BASI MBEYA YAUA WATU 12

          



WATU kadhaa wanadaiwa kufariki  dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa na wengine wakiwa mahututi kufuatia ajali ya basi lenye  namba za usajili T 282 CXT mali ya Kampuni ya AN  ambayo hufanya safari zake kati  ya Mbeya Tabora .                 



Ajali hiyo inadaiwa kutokea eneo la Lwanjoro   Wilaya ya  Mbeya vijijini ambapo Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Chunya Dr.Darson Andrew amethibitisha kuwapokea Majeruhi na maiti 11 kati yao Wanaume watano  na Wanawake sita.                     

Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI