Header Ads Widget

BREAKINGNEWS:POLISI KIGOMA WAMKAMATA MWANDISHI WA HABARI PETER KATULANDA




 Mwamdishi  wa habari Peter akamatwa na polisi Kigoma.

Ndugu waandishi wa habari wenzangu, nimepata taarifa  muda huu kuwa, mwandishi wa habari Mwemzetu Peter Katulanda anashikiliwa  na Polisi Mkoani kigoma akiwa wanatekeleza majukumu yao ya kikazi


Tunaendelea kufuatilia sababu za  kukamatwa kwake na kuhakilisha wanakuwa kwenye mikono salama pamoja na kupata dhamana.


Bado nafanya jitihada za kumtafuta kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma


Tutazidi kujuzana 


 Edwin Soko 

 13/8/2024

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI