Header Ads Widget

NINI MCH PETER MSIGWA ATAAMUA ?


 Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa Peter Msigwa kwa mara ya kwanza toka aangushwe na Joseph Mbilinyi Sugu katika nafasi hiyo kwa kupata kura 52 kwa kura 54alizopata mpinzani wake Sugu,kesho jumatatu  anakusudia kuzungumzia na waandishi wa habari je nini ataamua?



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI