Header Ads Widget

AJALI:BASI LA ABOOD


Basi la kampuni ya Abood kutoka Dar es Salaam kwenda Tunduma mkoani Songwe  limepata ajali eneo la Sao hill Mafinga Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.


Ajali hiyo imetokea majira ya saa 11:Alfajiri mmoja kati ya mashuhuda waliozungumza na Matukio Daima media alisema hakuna vifo ila  Dereva na Kondakta wamejeruhiwa.

 Matukio Daima media tunaendelea kumtafuta kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ili kupata taarifa ya kina .

     

Post a Comment

1 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI