Header Ads Widget

WATU 13 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE KUJERUHIWA KATIKA KILWA - LINDI

 Na, Matukio daima App Lindi



Watu 13 wamefariki dunia na wengine wamejeruhiwa  kufuatia ajali y abasi dogo la abiria aina ya coster iliyokuwa ikitokea Somanga kuelekea Kilwa Kivinje kugongana uso kwa uso na Lori  la mafuta.

 

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Lindi, John Imori amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo majira ya saa mbili asubuhi, katika barabara kuu ya Somanga – Nangurukuru huku akisema zaratibu zingine za kubaini chanzo cha ajli hiyo zinaendelea.

 

Majeruhi wote wamepelekwa katika Hospital ya Tingi kwa ajili ya Matibabu zaidi huku miili yote 13 imehifadhiwa  katika chumba cha kuhifadhia maiti, katika hospital ya hiyo.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI