Header Ads Widget

WANANCHI KISIWA CHA SONGOSONGO WAIMIZWA KUFANYA MAZOEZI KUIMARISHA AFYA .

Wananchi  Wa kata ya Songosongo Wilayani Kilwa wameimizwa kujenga Tabia ya kufanya mazoezi kwa ajili ya kujilinda na magonjwa nyemelezi sambamba na kuimarisha Afya zao

wito huo umetolewa na Diwani wa kata ya songosongo  Hassan Swalehe wakati wa mazoezi ya pamoja yaliyokutanisha vikundi mbalimbali vya Jogging huko wilayani kilwa ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa finali ya diwani cup unaotarajia kutimua vumbi hivi leo march 6/2024

amesema  mazoezi yamekuwa chachu katika kuleta umoja, upendo na mshikamano hivyo wananchi wajitokeze katika kufanya mazoezi.

baadhi ya washiriki wa mazoezi hayo wamesema kwa kufanya mazoezi licha ya kuimarisha afya pia ukuza uchumi pamoja na kudumisha undugu.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI