Na Simon Joshua - Matukio Daima App, Iringa.
Timu ya Itamba FC ya mjini Iringa imetoa kipigo kizito cha 7-1 kwa timu ya Makorongoni FC mchezo uliochezwa hapo jana katika uwanja wa Shule ya msingi Mlandege.
Huu ni mwendelezo wa ligi ya manispaa inayodhaminiwa na Fadhili Ngajilo.
0 Comments