Header Ads Widget

BABA MTAKATIFU MSTAAFU BENEDIKTO XVI AFARIKI DUNIA

 


Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI (95) amefariki dunia leo Jumamosi Desemba 31,2022 majira ya saa tatu na dakika 34 asubuhi.


 Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook wa Vatican News ujumbe unasomeka:

“With sorrow I inform you that the Pope Emeritus, Benedict XVI, passed away today at 9:34 in the Mater Ecclesiae Monastery in the Vatican. Further information will be provided as soon as possible.”

 (Kwa masikitiko ninawataarifu kwamba Papa Mstaafu Benedict XVI amefariki dunia leo saa 9:34 katika Monasteri ya Mater Ecclesiae mjini Vatican. Taarifa zaidi zitatolewa haraka iwezekanavyo).

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI