Taarifa ya Awali ya Mapokezi ya Mwili wa Gerald Mwanilwa
1.Mwili utaingia Ijumaa Dar e salaam.saa 7 mchana kutokea nchini India.4/11/2022
2.Mwili utaagwa Dar siku ya Jmosi.5/11/2022
3.Mwili utaingia Dodoma siku ya Jumapili.6/11/2022
4.Mwili utaagwa Dodoma siku ya Jumatatu 7/11/2022 na kupelekwa Mkoani Iringa.
5.Maziko yatakuwa siku ya Jumatano Mkoani Iringa.9/11/2022
Bwana ametoa,Bwana ametwaa,Jina lake lihimidiwe
0 Comments