Header Ads Widget

SIMIYU YATAJWA KUONGOZA ULIMAJI ZAO LA PAMBA NCHINI

  

NA Zulufa Alfan Matukio Daima App Simiyu 

Balozi wa Pamba Nchini Aggrey Mwanry ameutaja mkoa wa simiyu ndio unaongoza kwa ulimaji zao la Pamba Kati ya mikoa 17 na wilaya 56 inayolima zao Hilo Nchini

Amesema hayo alipokuwa akizungumza na wakulima Busega mkoani Simiyu  huku akiwataka baadhi ya wakulima kuacha tabia ya kutelekeza mashamba yao badala yake waweze kuandaa mashamba  mapema hasa katika msimu huu wa kilimo.

Kwa upande wake mkuu Wa wilaya ya Busega Gabriel Zakaria anaomba wakulima wa zao la Pamba waweze kufikiwa na huduma kwa wakati Kama vile mbegu mbolea na dawa huku akitumia fursa Hiyo  kuwaonya baadhi ya watendaji wa vijiji wasio waaminifu

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI