Header Ads Widget

RAIS SAMIA :DCI MSIMPELEKE MTU NDANI KABLA YA UPELELEZI KUKAMILIKA

 


"DCI mkusanyiko wa watu wanaokaa ndani bila kesi zao kusikilizwa ni mkubwa,DCI angalia haya nimekuona ukifoka toka juzi,kabla ya kumpeleka mtu ndani hakikisheni mmejiridhisha usimsweke mtu ndani kabla ya upelelezi haujakamilika"Rais Samia Suluhu Hassan 


Rais Samia ametoa Kauli hiyo Leo Agosti 30,2022  mkoani Kilimanjaro wakati wa kikao kazi Cha maofisa wandamizi wa jeshi la Polisi nchini .

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI