Mahakama kuu imeanza Kusoma uamuzi wa maombi ya wabunge 18 wa viti maalum ya ridhaa ya kufungua Shauri la kupingakuvuliwa uanachama wa chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),uamuzi huo unasomwa na jaji Mustapha Ismail aliyesikiliza maombi hayo
kitaifa
Na Hamida Ramadhan,Matukio Daima Media Arusha. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na …
0 Comments