Header Ads Widget

TAIFA STARS YAIGAGADUA 3-1 JAMHURI YA AFRIKA YA KATI

 


Timu ya Tanzania (Taifa Stars) imefanikiwa kuigagadua jumla ya goli 3 Kwa 1 timu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati Katika mchezo wake wa kimataifa wa kirafiki .

Timu ya Tanzania ilijipatia Goli la tatu kipindi cha pili dakika za lala salama huku Jamhuri ya Afrika ya Kati ilipata goli la kufutia Machozi lililopatikana Kwa ADHABU ya penati 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI