Dkt Samwel Mutasa ambayevalitunukiwa shahada ya uzamivu (PhD)mwaka 2020 na chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) akiwa na miaka 82 amefariki Dunia nchini Marekani .
Dkt Mutasa alikuwa gumzo Kwa kufikia mafanikio hayo baada ya kutumia miaka 41 Kusoma PhD yake ya Kemia
0 Comments