Header Ads Widget

TAMISEMI WAZUIA TOZO KWA WAHAWAZITO ZILIZOPITISHWA NA MADIWANI

 


Katibu Mkuu  TAMISEMI amesitisha malipo yaliyopitishwa na Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kwa wanawake wajawazito wanaofika kujifungua katika majengo ya halmashauri hiyo yaliyopo kwenye eneo la hospitali ya wilaya maarufu kama Mwembeni.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI