Header Ads Widget

DKT TULIA ACHUKUA FOMU KUWANIA KITI CHA SPIKA


Na matukio daima media

MBUNGE wa jimbo la Mbeya ambaye pia Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Akson , amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Uspika  wa Bunge.

, Dkt. Tulia amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu msaidizi Mkuu Idara ya Organaizesheni, 4 Itunda katika Ofisi za Makao makuu ya CCM Dodoma.




Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI