Header Ads Widget

ZITTO AKUTWA NA CORONA

 


Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema alipimwa  kukutwa na virusi vya Corona baada ya Kupatwa na mafua,Zitto amesema Chanjo inasaidia kutopata madhara makubwa "nimekaa eneo tengwa ili kutoambukiza wengine mpaka nitakapopima tena"

Zitto ashauri watanzania kuendelea kuchukua TAHADHARI 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI