Header Ads Widget

MAMA SAMIA NI MTEULE TOKA KWA MUNGU -DEO SANGA

 


“Mama Samia Suluhu Hassan ni mteule kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ndio maana hata haya anayofanya haijapata kutokea, tutegemee maendeleo makubwa sana kupitia Rais  Samia na kila mmoja amuombee” Deo Sanga, Mbunge wa Jimbo la Makambako akiongea kwenye Tamasha la Njombe ya Mama Samia 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI