Header Ads Widget

KIHUSU KESI YA MBOWE LEO

 



Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imekwama kutoa maamuzi ya kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na wenzake 3 na hii ni baada ya Jaji Joachim Tiganga kueleza kutokamilika kwa majumuisho ya maamuzi. 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI