Mkazi wa Kenya Evans Mutungi ameishitaki Hospitali ya maura nchini Kenya kwa kitendo cha Hospitali hiyo baada ya nesi wake anayedaiwa kuwa aliwahi kuwa mchumba wake kumfanyia ushonaji usio kuwa wa kibinadamu katika paji lake la uso baada ya kupata ajali .
Tukio hilo la kushangaza limetokea jumatatu ya Nov 8 mwaka 2021 baada ya Mutugi kupelekwa katika Hospitali hiyo kwa matibabu ya dharura baada ya kupata jali ya pikipiki siku ya jumamosi Novemba 6 mwaka huu majira ya mchana ambapo wasamaria wema walimpeleka katika Hospitali hiyo na kukutana na nesi huyo anayefahamika kwa jina la Rose Kagwira (Ex wake).
Mtugi kupitia wakili wake John & K Company ameishitaki Hospitali hiyo na kudai fidia ya kiasi cha shilingi milioni 6.4 sawa na Tsh milioni 131.66.





0 Comments