Header Ads Widget

JAJI WA KESI YA MBOWE AJITOA


JAJI Kiongozi, Mustapha Siyani aliyekuwa akisikiliza kesi ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe  na wenzake amejitoa kusikiliza kesi hiyo. Sababu ya kujitoa ni kuwa na majukumu mengi kufuatia kuteuliwa na Rais Samia kuwa Jaji Kiongozi. 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI