Header Ads Widget

NEMC YAJIBU KWA VITENDO YAAGIZA HALMASHARI NCHINI KUDHIBITI UCHAGUZI WA KELELE MAENEO YA BIASHARA

 

Na Francis Godwin ,Matukio Daima Media 

Ikiwa izimepita siku saba toka mwandishi wa Matukio Media Francis Godwin kuandika makala ya kero  za kelele za vipaza sauti na miziki maeneo ya biashara Manispaa ya Iringa na mengine nchini , Baraza la Taifa la Hi fadhi na Usimam Mazingira (NEMC) limezitaka izi Halmashauri nchini kusima mia kikamilifu ukusanyaji na utupaji wa taka ngumu. 

Pia limezitaka kuhakiki sha masharti ya vibali vya burudani wanavyotoa yana zingatiwa ili kudhibiti kelele chafuzi na kulinda afya za wananchi.

  Kaimu Meneja wa Uhusiano па Mawasiliano ма wa NEMC, Martha Kawishe, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Sa laam .

Alisema usimamizi wa kelele na mit mitetemo unasi mamiwa na Sheria ya Usi mamizi wa Mazingira, Sura ya 191 pamoja na Kanuni za Udhibiti wa kelele na Mite temo za mwaka 2015. 

NEMC ina jukumu la kufanya uke aguzi. aguzi, kupima viwango vya kelele, kutoa maelekezo ya maboresho na kushughu likia malalamiko ya wananchi kuhusu changamoto za mazingira.

Mamlaka za Serikali za Mi-Kawishe alifafanua kuwa taa zina wajibu wa kusi mamia leseni na vibali vya burudani pamoja na kuhakikisha masharti yali yoainishwa yanafuatwa. Aidha, alisema OSHA in-afuatilia athari za kelele kwa afya za wafanyakazi huku Jeshi la Polisi likisaidia utekelezaji wa sheria na ku

Alisema NEMC NEMC inawa himiza waendeshaji wa bi-burudani, nyumba za ashara, vivanda, maeneo ya na shughuli za ujenzi kuz ingatia viwango vya kelele vilivyowekwa kisheria na ku-tumia mbinu za kupunguza uchafuzi wa mazingira.

 Vilevile, aliwahimiza wa nanchi kuwasilisha malala-miko ya taka, kelele na changamoto nyingine za mazingira kwa mamlaka husika ili hatua stahiki zi chukuliwe kwa wakati.

Tazama makala haya chini inaeleza zaidi 

MANISPAA YA IRINGA KUANZA KUCHUKUA HATUA KELELE HIZI BOFYA HAPA

HABARI YA KELELE KIAFYA BOFYA HAPA

SERIKALI IMEANZA KUCHUKUA HATUA KELELE MAENEO YA BIASHARA -MEYA BOFYA LINK HII






Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI