Rais wa Marekani Donald Trump amezungumzia kwa kifupi mgogoro wa Mashariki ya Kati, akisema Marekani “inaendelea vizuri sana” katika vita vyake dhidi ya Iran.
“Tayari tumemshinda adui huyo kijeshi,” alisema Donald Trump.
“Hatutawahi kumruhusu adui huyo, Mfalme Charles wa Tatu anakubaliana nami, hata zaidi yangu, hatutawahi kuwaruhusu kupata silaha za nyuklia.”
Rais huyo ameongeza kuwa Marekani na Uingereza daima zitasimama pamoja, “zikipinga na kushinda nguvu za ukomunisti, ufashisti na utawala wa kimabavu.”
MWISHO.





0 Comments