Header Ads Widget

WANANCHI WA KAGERA WAKISHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA 2026


WANANCHI  wa Mkoa wa Kagera wakisherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026 kwa shamrashamra mbalimbali, zikiwemo ngoma za asili, burudani za muziki, fataki na mikusanyiko ya kifamilia.

Shughuli hizo zilifanyika katika maeneo tofauti ya mkoa huo, yakiwemo mji wa Bukoba na maeneo ya jirani na Ziwa Victoria, ambapo wakazi walionekana wakiwa na furaha na matumaini mapya kwa mwaka unaoanza.



 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI