Header Ads Widget

MWILI WA RAILA WAWASILI NCHINI KENYA KUTOKA INDIA

 

Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga umewasili katika uwanja wa ndege wa JKIA.

Mwili huo unapokelewa na Rais William Ruto, aliyekuwa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, familia ya Raila Odinga na maafisa wengine wakuu serikalini.

Ujumbe kutoka Kenya ulitumwa jana kwenda kuuchukua mwili huo nchini India ambako Raila Odinga alikuwa anapata matibabu.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI