Header Ads Widget

DKT MWINYI KUJA NA MPANGO WA KUWEKA MAGHALA YA KUHIFADHI CHAKULA

 


NA MATUKIO DAIMA MEDIA ZANZIBAR

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameweka wazi mikakati yake ya kudhibiti mfumko wa bei za vyakula kwa kuja na mpango wa kuweka maghala maalum yaliyofanywa kuhifadhia bidhaa za vyakula ili kutoa unafuu kwa wnanachi

Amesema mikakati yake ni kuandaa akiba ya chakula katika maghala kwa kununua bidhaa muhimu kama mchele pamoja na mafuta katkma msimu wa mavuno na kuyahifadhi katika maghala hayo ili kuyauza kwa bei ya kawaida pale bidhaa hizo zinapopatikana kwa gharama kubwa 

Kuhusu hali ya uchumi amesema uchumi wa Zanzibar umekua kwa asilimia 7.4 kutoka asilimia 4 iliyokua mwaka 2020

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI