Abas ni mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi Abbas Mwinyi ambae ni kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja
Abbas Mwinyi ni mtoto wa Mstaafu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa familia maara Baada kifo cha mzee
Abbas alikua Mbunge wa Fuoni Zanzibar kwa Muhula uliokwisha mbapo hivi sasa alikua akitetea nafasi hiyo kupitia Ccm
0 Comments