Header Ads Widget

BREAKING NEWS :MGOMBEA UBUNGE FUONI ABAS MWINYI AFARIKI DUNIA


Mgombea ubunge jimbo la Fuoni kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) Abas Mwinyi afariki dunia 

Abas ni mtoto wa mstaafu Marehemu Ali Hassan Mwinyi Abbas Mwinyi ambae ni kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dkt Mwinyi Leo Septemba 25 amefariki Dunia akiwa Hospitali ya Lumumba Mjini Unguja

Abbas Mwinyi ni mtoto wa Mstaafu Mzee Mwinyi ambae kabla ya umauti wake alikua msemaji wa familia maara Baada kifo cha mzee

Abbas alikua Mbunge wa Fuoni Zanzibar kwa Muhula uliokwisha mbapo hivi sasa alikua akitetea nafasi hiyo kupitia Ccm

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI