Header Ads Widget

VIONGOZI WA MATAWI ,MAKATIBU NA WENEZI CCM TARAFA YA ISIMANI WATINGA BUNGENI DODOMA KWA MWALIKO WA MBUNGE LUKUVI


Baadhi ya wageni wa Waziri wa  Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi ambao ni Wenyeviti, Makatibu na Wakatibu Wenezi (CCM) ngazi ya Matawi kutoka Tarafa ya Isimani, Jimbo la Ismani walipohudhuria shughuli za Bunge wakati wa Kikao cha 15 cha Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 la Bajeti linaloendelea.

Wageni hao kutoka Mkoa wa Iringa walitembelea Bunge leo tarehe 30 Aprili, 2025 Jijini Dodoma.

Aidha, wageni hao walipata fursa ya kushiriki mafunzo  kuhusu shughuli za Bunge zinavyofanyika katika ukumbi wa Msekwa na kufanya ziara ya kutembelea Mji wa Serikali- Mtumba.












Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI