Header Ads Widget

UZINDUZI WA JENGO LA MAHAKAMA KUU TANZANIA KUFANYIKA DODOMA

 

Na Hamida Ramadhan,Matukio Daima App Dodoma

MTENDAJI Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel, amesema uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania unatarajiwa kufanyika Jumamosi, Aprili 5, 2025, jijini Dodoma. 

Jengo hilo ni kubwa zaidi barani Afrika na la sita kwa ukubwa duniani, likiwa na mita za mraba 63,244. Prof. Gabriel

Akiongea na waandishiwa habari leo Mtendaji mkuu huyo  amefafanua kuwa mradi huu umejengwa kwa asilimia 100 kwa fedha za ndani, ukiwa na gharama ya Shilingi bilioni 129.7 huku Wageni wapatao 2,500 wanatarajiwa kuhudhuria hafla hiyo.




Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI