Header Ads Widget

TAARIFA KWA WATEJA WOTE WANAOTUMIA MITA ZA MAJI ZA MALIPO KABLA


IRUWASA inatarajia kufanya maboresho kwenye Mfumo wa mita za maji za Malipo kabla (LUKU) kuanzia tarehe 5 hadi 8/11 2024. 

Kufuatia Maboresho hayo, Mteja wa Mita ya malipo kabla utatumiwa TOKENI ambazo utaingiza katika mita yako ya maji kabla ya kuingiza TOKENI za maji.

 Kufuatia zoezi hili, IRUWASA inawaomba 

wateja wake wote wa mita za Malipo kabla kununua maji ya  kutosha kabla ya kuanza  zoezi hilo.

Maboresho  yamepagwa kufanyika (*tarehe 5-8/11/2024).

 Hii itaepusha  usumbufu wa kukosa maji kipindi Maboresho yakiwa yanaendelea. 

Atakayepata tangazo hili amjulishe  na mwenzie.

IRUWASA inaomba radhi wateja wake wa mita za Malipo kabla kwa  usumbufu wote utakaojitokeza.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI