Header Ads Widget

ACT WAZALENDO KIMESHINDA MTAA WA NYAMBWELA

 


Chama cha ACT Wazalendo kimeshinda Mtaa wa Nyambwela ulioko Kata ya Tandika Jimbo la Temeke Mkoani Dar es salaam kufuatia kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika November 27,2024.

Kwa sasa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe  wote wa Serikali ya Mtaa huo wanatoka ACT Wazalendo ambapo Mwenyekiti aliyeshinda anaitwa Mussa Bakar Mussa.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI