Header Ads Widget

PAMBANO LA NOCK OUT YA MAMA KUPIGWA OCT 5, DAR

 





Amesema kuwa pambano hilo la kimataifa litafanyika katika ukumbi wa City Centre Hall Magomeni, pamoja na mambo mengine, licha ya kutoa burudani limelenga kuwaenua mabondia watanzania kujulikana na kufanya kazi zenye kiwango ili waweze kufikia ndoto zao.

Akizungumza na Mtandao wa Matukio Daima, Bondia Ibrahim Mafia Tz amesema kwamba amejiandaa vya kutosha na anaendelea kujiandaa vizuri ili aweze kukabiliana na mpinzani wake sambamba na kushinda pambano hilo.

"Mashabiki wa boxing musiwe na wasiwasi , nimejiandaa vya kutosha na naendelea kujiandaa kupigana na mpinzani wangu nitahakikisha mashabiki mutafurahia burudani hii wasiwe na wasiwsi ,nipo vizuri nawakaribisha wajitokeze kwa wingi kuja kushuhudia pambano siku hiyo" amesema.

Kwa upande wa bondia Said Chino amesema kuwa yupo tayari kupigana kwenye pambano hilo nakwamba kwa sasa anaendelea kujifua ili kuweza kumshinda mpinzani wake, ambapo ameahidi kushinda kwenye pambano hilo.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI