Header Ads Widget

MBUNGE KIHENZILE ATIMIZA AHADI YAKE ACHANGIA ZAIDI YA TSH MILIONI 5 KKKT


Mbunge Kihenzile
MBUNGE wa Jimbo la    Mufindi Kusini ambae pia ni  Naibu Waziri wa Uchukuzi,  David Kihenzile amechangia kiasi Cha Tsh milioni 5 kwa Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ikiwa ni ahadi yake kwa  sharika za Isimikinyi, Ihowanza, Maduma na Njojo.


Mbunge Kihenzile ametoa   mchango huo leo jumapili Julai 14, 2024 baada ya kuungana na waumini wa kanisa kwa Ibada maalumu ya kugombea Taifa na  Harambee .

.  Katika Kanisa KKKT Usharika wa Isimikinyi Kihenzile amekamilisha ahadi yake ya Shilingi mlioni 2 na kuongeza TSH 400,000 nyingine leo.


  Fedha hizo zimewasilishwa na mwakilishi wake, Andrew Chunga Afisa Tarafa ya Malangali.  

Kwa upande wa Usharika wa Ihowanza, Mh Kihenzile  amechangia Tshs Milion 1.5 ikiwa ni ahadi aliyoitoa kwenye shughuli ya ununuzi Vyombo vya Muziki na fedha hizo zimewasilishwa na Diwani wa Kata hiyo Kilian Ngunguru huku  katika Kanisa la KKKT Maduma, Mbunge huyo  amchangia Shilingi 5

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI