Header Ads Widget

RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA MAFURU

  

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Joseph Mafuru ametenguliwa katika nafasi hiyo.

Kwa mujibu wa Kurugenzi ya Mawasilino-Ikulu, nafasi ya Mafuru imechukuliwa na Bw. Addo Missama, ambaye kabla ya uteuzi huo, alikuwa Ofisa mwandaizi, Ofisi ya Rais-Ikulu.


Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Bw. Mafuru ambaye uteuzi wake umetenguliwa, aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma



.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI