Header Ads Widget

RC SERUKAMBA AMEJIONEA UBOVU WA BARABARA YA MAFINGA- SAWALA -WANANCHI

 



WANANCHI wa Igoda kata ya Luhunga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamefutahishwa na ziara ya mkuu wa mkoa wa Iringa Peter Serukamba kuwa ameweza kushuhudia kero ya barabara ya Mafinga -Sawala.

Wakizungumza na Matukio Daima media leo wananchi hao wamesema pamoja na kuwa leo hakuna mvua ila kwa sehemu ataona changamoto ya ubovu wa barabara kuu ya Mafinga -Sawala hadi Mgololo.


Walisema kero ya ubovu wa barabara hiyo ni Mateso makubwa kwa wananchi pia ni hatari kwa ukuaji wa uchumi wa wilaya ya Mufindi.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI