Home
About
Contact
Header Ads Widget
Home
News
Entertainment
Sports
Magazeti
Home
kitaifa
DC MBOZI APIGA MAARUFU WATUMIS HI IDARA YA AFYA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA.
DC MBOZI APIGA MAARUFU WATUMIS HI IDARA YA AFYA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA.
Misalaba
Tuesday, February 13, 2024
Na Ibrahim Yassin, Songwe
KAULI za matusi na kejeli zinazotolewa na baadhi ya watoa huduma kwa wago njwa kwenye vituo vya kutolea tiba zime mfanya mkuu wa wilaya ya Mbozi mkoa ni Songwe kuagiza watumishi wa afya kuvaa vitambulisho mda wote wawapo kazini kwenye vituo vya kazi.
Imeelezwa kuwepo kwa dharau, kauli ziaizo na staa kwa wagonjwa zinazof anywa na baadhi ya wauguzi hasa kwa mama wajawazito,wazee na watoto hali iliyomuibua mkuu wa wilaya na kutoa maagizo.
Lengo la mkuu wa wilaya ya Mbozi mkoani hapa Ester Mahawe amepiga marufuku watu mishi wa afya kufanya kazi bila kitam bulisho lengo ni kuwa saidia wagonjwa kuwabaini kwa majina watoa huduma wanaotoa lugha za matusi.
Mahawe ametoa agizo hilo jana katika kikao kilicho wakutanisha timu ya usima mizi huduma ya afya, waganga wafawi dhi wa hospitali, vituo vya afya ,zahanati na watumishi wa hospitali lengo likiwa ni kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wilayani humo.
Hatua hiyo imekuja baada ya mkuu huyo wa wilaya kupokea kero za matusi na kejeli zilizowalenga watoa huduma kwa wagonjwa hususani mama wajawa zito zimemfanya kutoa kauli ya serikali kumt aka kila mtumishi wa afya kuvaa kitamb ulisho anapokuwa anafanya kazi.
"Watoa huduma wilayani Mbozi baadhi yenu mmelalamikiwa kutoa lugha mbaya na za karaha kwa wagonjwa hasa wanao kuwa katika hali ya kujifungua acheni tab ia hiyo dawa yenu inachemka," amesema Mahawe.
Kwa upande wake Mganga Mkuu wa wil aya ya Mbozi Alex Mugeta amesema ata hakikisha anasimamia uvaaji wa vitamb ulisho vya kazi kwa watumishi wote ili ku warahisishia wagonjwa kuwatambua watoa huduma wanaowatukana.
Mmoja wa wananchi Anastazia Ramadh ani amesema baadhi ya watoa huduma za afya wamekuwa kero Kwa wagonjwa kutokana na lugha chafu na kejeli wanaz okutana nazo hali ambayo husababisha kuogopa kutibiwa hospitali za serikali.
Mawazo Mwabeza amesema utaratibu ulioagizwa na mkuu wa wilaya juu ya uva aji wa vitambulisho kwa watumishi wa af ya utatusaidia kubaini majina ya wahudu mu wanaotukana matusi hususani wake zetu wanapokuwa chumba cha kujifung ulia.
Post a Comment
0 Comments
MAGAZETI
NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI
TV News
World News
UZA NUNUA NASI LEO
Subscribe Us
MATANGAZO
TIBA YA UKANDAJI WA MGONGO, KICHWA KUTOKA NEEMA BEAUTY, SPA SALOON
MAKALA NZURI ZAIDI
SERIKALI YATANGAZA BEI YA PAMBA HUKU IKITOA MAELEKEZO.
BARIADI NEWS
Friday, May 02, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenan Kihongosi (mwenye tai) akishuhudia zoezi la Uzinduzi wa …
STAY CONNECTED WITH US
Ad Space
Responsive Advertisement
Most Popular
BREAKING:DKT KITIMA AJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA
Thursday, May 01, 2025
WANANCHI ULYANKULU WAMPA KONGOLE RAIS SAMIA ZOEZI LA MADAKTARI BINGWA
Thursday, May 01, 2025
WAMECHUKUA VYOMBO VYANGU VYOTE VYA NDANI KISA MADENI -SIMULIZI
Thursday, May 01, 2025
Contact form
0 Comments