Header Ads Widget

WAFANYABIASHARA MBEYA WAIANGUKIA T.I.C KUKWAMISHWA NA BAADHI YA TAASISI ZA SERIKALI




Wafanyabiashara Mkoa wa Mbeya wamezilalamikia taasisi za serikali ikiwemo Tanesco  kwa kuwa kikwazo kwenye masuala ya uwekezaji wa ndani na kupeleka uwekezaji kuwa hafifu na  sekta hiyo  kuwa ndogo.


Malalamiko hayo yametolewa na wafanyabiashara Mbele ya kaimu Mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji TIC katika semina ya siku Moja kwa wafanyabiashara yenye lengo la kutoa fursa mbalimbali za uwekezaji Mkoa wa Mbeya. 


Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji Tanzania T.I.C Bw Felix John amesema wafanyabiashara wanahitaji kushirikiana nao Ili waweze kutatua changamoto na vikwazo ambavyo wanakutana navyo.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI