Anaandika King Bashite
Misungwi Mwanza
14/01/2024.
Pongezi kubwa sana kwa Mkurugenzi wa Gwambina limited na Mbunge wa Jimbo la Misungwi na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti kwa kuipenda Misungwi yetu.
Pongezi kubwa zingine kubwa ni Mr JAPHETH MAKAU Mkurugenzi wa taasisi ya FOUNTAIN GATE COMPANY. Kukubali Kuwekeza Misungwi na kuwa karibu na familia kubwa ya GWAMBINA.
Fountain gate company imekubali kuihamishia timu yake wilayani Misungwi - Mwanza na Kuitoa Mkoani SINGIDA na kuibadili jina na itaitwa FOUNTAIN GATE FC na makao yake makuu yatakuwa Misungwi ( GWAMBINA VILLAGE HOTEL ) Mwanza na uwanja watakao kuwa wanautumia ni GWAMBINA COMPLEX (FOUNTAIN GATE STADIUM) .
Maazimio hayo yanakuja tu baada ya Fountain gate company kuinunua timu ya IHEFU na itajulikana kwa jina la SINGIDA BIG STARS na maskani yake yatakuwa mkoani ARUSHA na hapo baadae inaweza kurejeshwa mkoani LINDI .
Huku timu ya Fountain gate academy ( FGA TALENT
0 Comments