Header Ads Widget

KAMATI YA LISHE MKOA WA ARUSHA YATAKIWA KUTOA ELIMU YA LISHE

  

 


Na Pamela Mollel Arusha 

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Albano Mussa ameitaka kamati ya lishe kupanua wigo wa kutoa elimu kwa jamii ili kukabiliana na changamoto ya udumavu kwa watoto 


Alitoa agiza hilo wakati akifungua kikao lishe Mkoa wa Arusha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika jijini Arusha 



Mussa aliongeza kuwa licha kuwa changamoto ya udumavu kwa watoto inaendelea kupungua siku hadi siku bado kuna changamoto hiyo kwa watoto wa maeneo ya vijijini 


"Uhaba wa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa lishe kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 2na  miezi 7 hivyo ni vyema wataalamu pamoja na wadau kushirikiana kwa pamoja ili kuwafikia wananchi waliopo pembezoni"alisema Mussa

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI