Mkurugenzi Mkazi wa USAID Craig Hart akimkabidhi leo ofisini kwake mkuu wa mkoa wa Iringa Halima Dendego cheti cha shukrani kwa ushirikiano muhimu na mchango katika kupunguza unyanyapaa wa VVU na katika Kukomesha VVU na UKIMWI mkoa wa Iringa
Mkurugenzi Mkazi wa USAID Craig Hart wa pili Kushoto akiwa katika picha ya pamoja leo na mkuu wa mkoa wa Iringa Halima Dendego wa tatu Kulia na Viongozi wengine wa Mkoa wa Iringa ,wa kwanza Kulia Anna Hoffman Mkurugenzi msaidizi kitengo cha afya USAID na wa pili Kulia Jessica Greene mratibu wa Mfuko wa dharura wa Rais wa Marekani wa kupambana na UKIMWI (PEPFAR )Tanzania wengine ni katibu Tawala wa mkoa wa Iringa Mhandisi Leonard Masanja (mwenye kaunta suti) na WA kwanza Kushoto ni mkuu wa Wilaya ya Iringa Veronica Kessy
0 Comments